Ndoto kuhusu Udongo

Kuota kwamba uko shambani ama kwenye bustani ndogo ukichimba udongo, ukiotesha ama ukilima, kunaweza kuashiria kwamba kuna mtu aishiye nyumbani kwako atakayepatwa na maradhi, ama kuugua homa au kifua. Kuota kuhusu uwepo wa kifusi cha udongo wa kujengea nyumbani kwako ni ishara mbaya inayoweza kuashiria ugonjwa. Kuota kwamba unachimba shimo ama kaburi na kugeuza-geuza udongo …

Soma zaidi