Ndoto kuhusu mikato/michano/chale za Ngozi

Kama hauumwi na kisha ukaota kwamba ngozi yako inachanwa na kisha inapakwa dawa kama inavyofanywa kwenye tiba za kienyeji, ndoto hiyo inaweza kumaanisha kwamba una adui anayejaribu kukuroga kwa kutumia dawa za kienyeji. Wakati mwingine ndoto hii inaweza kuwa inakuonya kuwa unahitaji kuamka na kutafuta msaada kwani kuna mtu anayejaribu kukuroga. Kama teyari umaumwa nawe …

Soma zaidi