Ndoto kuhusu mayai  

Kuna watu wanaoamini kwamba mayai katika ndoto huashiria uzao. Mtu akiota kwamba amekusanya mayai mengi bandani kwake, basi ndoto hiyo huonekana kuashiria kuwa mtu huyo atakuwa na uzao mkubwa. Hata hivyo, mtu anapoota kwamba mayai yamevunjika, basi ndoto hiyo hutafsiriwa kumaanisha kwamba uzao wa mtu huyo umeharibiwa ama kukamatwa na adui. Wengine huamini kwamba, mayai …

Soma zaidi