Ndoto kuhusu Vidole na Mikono

Kama ukiota kwamba mikono yako ni michafu, ndoto hii humaanisha kuwa unashawishiwa kufanya jambo baya. Kama mikono hiyo si michafu tu bali inanatanata pia, inaweza kumaanisha kwamba unaweza kuwa fukara kutokana na kile unachoshawishiwa kufanya. Kama mkono au vidole vyako vinaonekana kuumizwa kwenye ndoto, hilo linaweza kumaanisha kwamba utapoteza kazi yako siku za usoni. Kama …

Soma zaidi