Ndoto kuhusu Ubani

Kama ukiota kwamba unapatiwa ubani, ndoto hiyo inaweza kumaanisha kwamba unapatiwa mamlaka ya kuiongoza kaya yako na kuzungumza na mababu zako. Kwa kawaida hili hutokea pindi panapokuwa hakuna mzee yoyote tena kwenye familia ama kwa mtoto ‘aliyezaliwa kwa ajili ya wajomba’. Basi hali hii hukutaka kutafuta kaya yenye mahusiano ya moja kwa moja na wewe, …

Soma zaidi